Thursday, September 24, 2015

Meli yenye Umaarufu wake Dunia Tinanic


Titanic ilikuwa meli kutoka Uingereza iliyojengwa kati ya 1909 na 1912 huko Belfast. Wakati ule ilikuwa meli kubwa duniani pamoja na mwenzake "Olympic".
Ilipangwa kuzunguka kwenye Atlantiki kati ya Uingereza na Marekani.

Friday, September 18, 2015

Adolf Hitler na Amri aliyo itowa September 1941

Dikteta wa Ujerumani Aliamrisha kuuwawa kwa raiya 100 wa Yugoslavia ilikufidia kifo cha mjerumani Mmoja wakati wa vita vikuu ya Pili ya Dunia. 
Hitler anakumbukwa kwa mauwaji makubwa aliyoyafanya wakati wa Utawala wake.

Agost 4 1962 Nelson Mandela Alifanya tukio lenye historia kwenye Maisha yake..

Nelson  Mandela aliyezaliwa Julai 18, 1918.

Agost 4 1962 Akiwa na umri wa miaka 44 Alikamatwa na Askari polisi wa afrika kusini kwa kosa la kuongoza Maandamano ya wananchii kupinga Ubaguzi wa rangi nchini humo.
Kiongozi huyo alifungwa Jela kwa miaka 27 kabla ya kuachiwa Mwaka 1990.

Huyu ndiye Mvumbuzi wa simu!!


Taarifa zinaonyesha kuwa mvumbuvi wa Masiliano ya Simu ni Alexander Graham Bell.Alizaliwa March 3 1847 nchini Scotland na kufariki Agosti 2 mwaka 19922.

Jaribio la kwanza lakutengeneza simu lilikuwa mwaka 1876. Hata hivyo kuna mkanganyiko kwani Juni 15 mwaka 2002 Baraza la Congress la Marekani ilipitisha Azimio namba 269 la kumtambua Antonio Meucci kuwa ndiye Mvumbuzi wa simu


Tuesday, September 1, 2015

Zijuwe Piramidi za Misiri...


Misri ya Kale ni ustaarabu uliokuwepo Africa, sambamba na mto Naili, kuanzia kwenye delta au mdomo wa Naili, kaskazini mwa Misri kwenda kusini hadi Jebel Barkal, penye maporomoko ya nne, wakati wa kupanuka kwake (Karne ya 15 KK).
 Ustaarabu huu ulidumu kwa karibu milenia tatu, toka takribani mwaka 3000 KK hadi mwaka 30 KK nchi ilipovamiwa na Waroma na kuwa sehemu ya Dola la Roma.