Friday, September 18, 2015

Adolf Hitler na Amri aliyo itowa September 1941

Dikteta wa Ujerumani Aliamrisha kuuwawa kwa raiya 100 wa Yugoslavia ilikufidia kifo cha mjerumani Mmoja wakati wa vita vikuu ya Pili ya Dunia. 
Hitler anakumbukwa kwa mauwaji makubwa aliyoyafanya wakati wa Utawala wake.