| Pasifiki inayoonekana kutoka angani; |
Kuna visiwa zaidi ya 25,000 katika Pasifiki vingi ni vidogo sana.....
Bahari za pembeni ziko hasa upande wa Asia / Australia. Kati ya hizo ni: Bahari ya Calebes, Bahari ya Uchina ya Kusini, na Bahari ya Mashariki.
Jina la Pasifiki (Kilatini: yenye amani, yaani kimya) limetokana na Wazungu wa kwanza waliovuka bahari hii mwaka 1520 BK kutoka Amerika ya Kusini hadi Ufilipino wakaikuta kuwa ni bahari tulivu. Lakini Pasifiki inaweza kuwa na dhoruba kali sana. Ni eneo lenyematetemeko ya ardhi mengi yanayosababisha mawimbi haribifu ya tsunami ambayo yalimaliza miji na vijiji ufukoni.