Waanzilishi wa Facegloria wanadai kwamba mtandao huo umewavutia wafuasi takriban laki moja tangu uzinduliwe mwezi Juni.
Kuna maneno 600 yaliopigwa marufuku katika mtandao huo na kuna kibonyezo cha "Amen" kushabikia ujumbe unaobandikwa.
Ummaland, ni mtandao wa kijamii wa kiislamu uliozinduliwa 2013, can una wafuasi 329,000.
Unatoa fursa kwa wanawake kuwa na faragha zaidi na kutoa ujumbe wa nasaha wa kidini kila siku.
Kuna maneno 600 yaliopigwa marufuku katika mtandao huo na kuna kibonyezo cha "Amen" kushabikia ujumbe unaobandikwa.
Ummaland, ni mtandao wa kijamii wa kiislamu uliozinduliwa 2013, can una wafuasi 329,000.
Unatoa fursa kwa wanawake kuwa na faragha zaidi na kutoa ujumbe wa nasaha wa kidini kila siku.
